Sisi ni nani


Foundation for Civil Society (FCS) ni shirika huru la Watanzania lisilo lenga kupata faida ambalo hutoa ruzuku na huduma za kujenga uwezo kwa Asasi za Kiraia (AZAKI) ili kuongeza ufanisi wao katika kuwezesha ushiriki wa wananchi kwenye michakato ya maendeleo. Shirika hili lilianzishwa na wadau wa maendeleo nchini Tanzania. FCS ilianzishwa na kusajiliwa mwezi Septemba 2002 na kuanza kufanyakazi rasmi mwezi Januari 2003. Safari ya Foundation for Civil Society ilihusisha wadau wengi wa maendeleo ikiwemo Serikali na washirika wa maendeleo (DPs) ambao walikubaliana kuwa kuna upungufu wa rasilimali za umma za kusaidia Asasi za kiraia, na hivyo waliamua kutafuta njia…

Matangazo ya Mwezi


17 th Mei , 2023

FCS yazindua mradi wa “Uraia Wetu” ili kukuza ushiriki wa asasi za kiraia kwenye utawala wa kidemokrasia nchini Tanzania

*FCS inatoa ruzuku ya zaidi ya Tsh 4,916,402,000 kwa AZAKi za kijamii na kuwezesha ushiriki…

10 th Agosti , 2022

ORODHA YA MASHIRIKA YALIYOCHAGULIWA KUPOKEA RUZUKU ZA FCS 2022-2024

Orodha ya Mashiriki yaliyochaguliwa kupokea ruzuku za FCS 2022-2024

25 th Mei , 2022

MWONGOZO WA UPATIKANAJI WA RUZUKU 2022-2026

Shirika la Foundation for civil society katika mpango mkakati wake wa 2022-2026 limetoa mwongozo wa…

Habari za Foundation

Moyo wa kujitolea wasaidia AZAKI za Tanzania

Asasi za kiraia (AZAKI) nchini Tanzania zinatumia mikakati mingi sana kufikia jamii nyingi kwa miradi…


Soma Zaidi

Jinsi mradi ulivyofanikiwa kuleta amani

Kwa ufadhili wa shirika la Foundation for Civil Society (FCS) shirika la Tanzania Initiative for…


Soma Zaidi

Tuna furaha tena!

Utangulizi Kwa ufadhili wa Foundation for Civil Society (FCS) , taasisi ya Caritas Tabora ilitekeleza…


Soma Zaidi

Podcast

MAFUNZO YA WAFADHILIWA WA FOUNDATION MWAKA 2018 – FCS GRANTEES MYG TRAINING 2018

MAFUNZO YA WAFADHILIWA WA FOUNDATION MWAKA 2018 – FCS GRANTEES MYG TRAINING 2018

Taswira za mafanikio

Wanakijiji waamua kusimamia maendeleo yao wilayani Kilolo


Kilimbwa ni kijiji cha ndanindani sana kwenye Kata ya Ibumu wilayani Kilolo mkoa wa Iringa. Ni kijiji kidogo na kipya cha umri wa miaka 10 hivi, lakini kinachokua kwa kasi sana. Wakazi wake wanaongezeka pia. Wanakijiji wa Kilimbwa wameshaomba sana shule kwa ajili ya watoto wao. Watoto wao wanakwenda mwendo mrefu kuhudhuria shule katika vijiji vya jirani. Siku moja, baada ya kuomba na kutoa taarifa sana waliamua kujenga wenyewe shule kwa ajili ya watoto wao; kwa mikono yao na rasilimali…

Wadau wa FCS