Home | Vacancies and Tenders | Join our mailing list | Webmail | CSO Directory | FCS Forum       ENGLISH‹›SWAHILI
..enabling effective engagement in poverty reduction efforts!
What they Say About Us
  • About Us
  • Grants
  • Services
  • Reports & Plans
  • publications
  • contact us
   
 
Download
  • Grants Application Guide - 2013 English Version
  • Mwongozo Wa Kushiriki Maombi Ya Tuzo Ya Asasi Bora...
  • Fomu Ya Maombi Ya Tuzo Ya Asasi Bora 2013
  • Mwongozo Wa Uombaji Ruzuku Mwaka 2012
  • Tuzo Ya Asasi Bora
  • More »
    Useful Links
  • Others
  • Regional and global civil society networks
  • National civil society networks and organizations
  • CSO Directory
  • cso websites funded by fcs
  • Tanzania women Teachers Association
  • Morogoro paralegal Centre
  • Christian Council Of Tanzania
  • Guluka Kwalala Youth Environmental Group
  • More »
    Your Comments
    Do you have questions/comments?
    Let us know below

    Name
    E-mail
    Comment
     

    NEWS

    Butiama wataka katiba Vijijini

    2012
    JUNE
    18th

    Wananchi wa Kata ya Kukilango katika Wilaya mpya ya Butiama, mkoani Mara wameitaka serikali kusambaza katiba vijijini ili wananchi waweze kuisoma na kuielewa kabla ya kutoa maoni yao kwenye tume ya katiba.Wananchi hao walitoa kauli hiyo hivi karibuni kwa nyakati tofauti kwenye mdahalo wa kupata maoni juu ya uundwaji wa katiba mpya ulioandaliwa na mtandao wa asasi za kiraia mkoa wa Mara (Mara Forum) chini ya ufadhili wa the Foundation for civil society.

    Walisema pamoja na serikali kuunda tume hiyo, wananchi wengi hasa wa maeneo ya vijijini hawajapata elimu ya kutosha kuhusu zoezi la kutoa maoni pamoja na kutoifahamu katiba iliyopo.

    Akichangia mada katika mdahalo huo, mkazi wa kijiji cha Kiabakali, Verena Charles, alisema wananchi wengi hawajui katiba na wala hawajawahi kuiona, hivyo itakuwa ni vigumu kwao kutoa maoni kwenye tume hiyo.

    Naye John Nyamsana, alisema wananchi wanahitaji katiba mpya itakayokidhi mahitaji na matakwa yao tofauti na sasa ambapo katiba ipo kwa ajili ya kulinda maslahi ya watu wachache.

    Wawezeshaji katika mdahalo huo, Bonmatto kutoka Asasi ya Shehabita Tarime na Mwanasheria Paschal Patroba walitumia fursa hiyo kuwafafanulia wananchi mambo mbali mbali kuhusu katiba iliyopo na kujitokeza kwa wingi wakati wa kutoa maoni.

    Chanzo: Tanzania Daima, 15/6/2012

    Useful Links
  • Others
  • Regional and global civil society networks
  • National civil society networks and organizations
  • CSO Directory
  • cso websites funded
    by fcs
  • Morogoro paralegal Centre
  • Christian Council Of Tanzania
  • Guluka Kwalala Youth Environmental Group
  • Agenda Participation 2000
  • About Us | contact us | Press Room | Vacancies | Privacy Policy | Terms and Conditions | Join our mailing list | Webmail
    © 2009 - 2012 The Foundation for Civil Society. All Rights Reserved.