Home | Vacancies and Tenders | Join our mailing list | Webmail | CSO Directory | FCS Forum       ENGLISH‹›SWAHILI
..enabling effective engagement in poverty reduction efforts!
What they Say About Us
  • About Us
  • Grants
  • Services
  • Reports & Plans
  • publications
  • contact us
   
 
Download
  • Grants Application Guide - 2013 English Version
  • Mwongozo Wa Kushiriki Maombi Ya Tuzo Ya Asasi Bora...
  • Fomu Ya Maombi Ya Tuzo Ya Asasi Bora 2013
  • Mwongozo Wa Uombaji Ruzuku Mwaka 2012
  • Tuzo Ya Asasi Bora
  • More »
    Useful Links
  • Others
  • Regional and global civil society networks
  • National civil society networks and organizations
  • CSO Directory
  • cso websites funded by fcs
  • Tanzania women Teachers Association
  • Morogoro paralegal Centre
  • Christian Council Of Tanzania
  • Guluka Kwalala Youth Environmental Group
  • More »
    Your Comments
    Do you have questions/comments?
    Let us know below

    Name
    E-mail
    Comment
     
    FCS Forum Login Feedback
    TOPIC
    13/07/2010
    MAFUNZO YA KUJENGA UZOEFU WA KAZI KWA WANAFUNZI, NI NJIA SAHIHI YA KUMUANDAA KIJANA KUWAJIBIKA VIZURI MAENEO YA KAZI?
    Asasi na mashirika mbalimbali yamekuwa yakishauriwa kuwachukua wanafunzi wa vyuo vikuu wanapokuwa kwenye mafunzo ya vitendo mara kwa mara. Nia kuu imekuwa kumuwezesha kijana kupata uzoefu wa kazi na kumtayarisha kukabiliana na changamoto za maisha. Je kwa mtazamo wako ni kweli hili limekuwa likifanyika kwa ufasaha na ni kwa kiasi gani vijana wamenufaika na utaratibu huu?
    dgsdff
    08/02/2012
    asdasdd
    RAJAB KABAVAKO
    25/08/2010
    Mimi ninaamini kuwa mafunzo ya kujenga uzoefu wa kazi kwa wanafunzi ni mazuri na ni njia sahihi ya kumuandaa kijana kuwajibika vizuri katika maeneo yake ya kazi. kwani iwapo atakutana na wachapa kazi akafanya nao kazi, atawaiga uchapaji kazi wao lakini bahati mbaya kama akikutana na watu wavivu na wachoyo anaweza kutoka bila kujua kitu, hapa tatizo si mfumo bali watu waliomuandaa ndio wabaya.
    WISE
    13/07/2010
    Hi, Ushauri wangu ni kuwa ni kitu kizuri kuwapa fursa watanzania wenzetu vijana kupata uzoefu. Tatizo soko wameliaribu wenyewe mara nyingi hawana utulivu na umakini wa kazi wanafikiri fursa wanazopewa ni mahali pa kufanya mchezo mchezo vi excuse vya kutohudhuria mara kwa mara na wakati mwingine hawaji. Kwa ufupi nidhamu ni shida. Ni vema anayewachukua aliweke wazi hilo. Pia hata chuo chenyewe kupitia waalimu wanaowasimamia ni tatizo. Hata wakipewa mrejeso juu ya mapungufu ya wananfunzi wao hawalifanyii kazi tatizo hilo na nilichogundua PT aiwei attached kwnye maksi za wanafunzi japo wanataka CSO ijaze form fulani. Na kama vile haitoshi pamoja na kuwapa angalizo kwa maandishi na kutojibu, mwaka unaofuata kama vile hawajui au wanadhani umesahau wanakuja tena na barua ya kuomba fursa tena na walimu wale wale wasiokuja kuwapitia wala kufanyia kazi changamoto. Mimi bado nadhani kama mzalendo ni fursa nzuri lakini ili msije shangaa mwisho wa siku kuwa kero badala ya faida ni vema kuwepo makubaliano na idara husika kuhsu ufuatiliaji, kusughulikia changamotona pia wanafunzi kupewa code of conduct na hasiye abide afukuzwe kwani kila upande unahitaji mwenzie na hivyo dhana ya kuwa anayefaidika ni asasi isiwepo. Ila nataka kusifi idara ambazo kwao mpaka wana ofisi inayoshughulikia placement za wanfunzi-engeneering-hsipoenda ulikopangiwa na husipohudhuria hawakusemeshi utakuta katika matoke yako anscond ata kama ni mwaka wa nne kumbe mwalimu alipoenda pale hakukukuta na alipewa taarifa hakuseshi anakupa maksi unazostahili utajiju ukijikuta ume disco mwisho wa siku. Ila pia nasi wana CSO. Kuna baadhi yetu wanacukua hawa vijana hakuna job description anakuja fanya nini hakuna hata on job training ya kazi iliyomleta mtu akiamka asubui leo anamtuma hiki kesho kile kaa kibarua mwisho wa kukaa hapo hawezi sema nilijifunza nini. Nadhani kama tunapenda kuwaheshimu wenzetu pamoja na ujuzi wao kidogo tuwatendee haki kwa kujiandaa na kuwaandalia cha kufanya na kuwapa fursa ya kujifunza kazi si kutumwa tumwa kusikomjenga mtu kitaaluma na kikazi Kwa nia njema fursa hii tuichangamkie kwa kuweka mazingira mazuri kila upande unufaike
    Recent Topics
    Title Views Last Updated
    FCS found a different ways of publishing its reports 8 05/07/2012
    Hacked 10 12/06/2011
    NINI MTIZAMO WAKO KUHUSU BIASHARA NA SIASA? 1 26/08/2010
    NINI KINAFUATA ZANZIBAR? 2 12/08/2010
    Asasi za kiraia zina mchango gani katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu? 0 12/08/2010
    Top Contributors
    Lina   [ 1 ]
    Kelvin   [ 2 ]
    Noel   [ 1 ]
    James   [ 1 ]
    Hermengild Mayunga   [ 2 ]
    Michael Mpombo, KILI CENTRE, MOSHI.   [ 1 ]
    Useful Links
  • Others
  • Regional and global civil society networks
  • National civil society networks and organizations
  • CSO Directory
  • cso websites funded
    by fcs
  • Morogoro paralegal Centre
  • Christian Council Of Tanzania
  • Guluka Kwalala Youth Environmental Group
  • Agenda Participation 2000
  • About Us | contact us | Press Room | Vacancies | Privacy Policy | Terms and Conditions | Join our mailing list | Webmail
    © 2009 - 2012 The Foundation for Civil Society. All Rights Reserved.